MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame 'Haaland' amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin ...
LICHA ya Tamasha la Muziki wa Dansi Tanzania 2025, 'Kadansee la Mama', kufana kwenye viwanja vya Leders Club Kinondoni jijini ...
MECHI 23 tu zimetosha kwa Simba kuamini kiungo wake fundi Jean Charles Ahoua ni mali inayotakiwa kulindwa ipasavyo na ...
ALIYEKUWA mwimbaji wa Bongofleva, Vanessa Mdee ameweka wazi kuwa ametimiza miaka mitano bila kunywa pombe lakini hatua hii ...
MANCHESTER City inasema huko kwenu Erling Haaland atakabwa na nani...Arsenal inajibu huku kwetu yupo Gabriel Magalhaes haachi ...
SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) imeweka wazi itashirikiana na mwanariadha Gabriel Geay kuhakikisha mashindano ya Mbio za Nyika aliyoyaanda nyota huyo yanafanyika kwa ubora mkubwa.
KUSHINDA mechi ya ufunguzi wa michuano ya ICC League B dhidi ya Italy na tatu nyingine zinazofuata, ndio azma kuu ya timu ya Tanzania katika ligi hii kimataifa inayoanza kuchezwa rasmi ijumaa ...
KLABU ya mbio za magari ya Mount Uluguru imetwaa taji la klabu bora ya mwaka 2024 na kupewa tuzo maalum katika hafla ya utoaji zawadi iliyofanyika mwishoni mwa juma katika Hoteli ya ...
KOCHA wa Kiluvya United, Zulkifri Iddi 'Mahdi' amesema moja ya malengo ya timu hiyo kwa sasa ni kuendelea kusalia msimu ujao wa Ligi ya Championship, baada ya kuona nafasi waliyopo ni finyu ...
KIKOSI cha Mtibwa Sugar kimeendeleza umwamba baada ya kuichapa Cosmopolitan mabao 3-0 wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Manungu Complex Morogoro, ukiwa ni ushindi wa 14 wa timu hiyo msimu ...
KOCHA msaidizi wa TMA Stars, Augustino Thomas ameweka wazi kuwa makosa ya kibinadamu ya kujirudia rudia ambayo yamekuwa yakifanywa na makipa wao yamechangia timu hiyo kutokuwa na mwenendo ...
BAADA ya Lucas Sendama kujiunga na Stand United 'Chama la Wana' katika dirisha dogo lililofungwa Januari 15, mwaka huu, mshambuliaji huyo amesema ni wakati sahihi kwake wa kupambana na ...