CEASIAA Queens ya Iringa katika dirisha hili dogo imeongeza wachezaji wanne kwenye maeneo tofauti. Timu hiyo iko nafasi ya ...
BEKI wa pembeni wa Chelsea, Ben Chilwell ameripotiwa kuwa kwenye hatua za mwisho kukamilisha uhamisho wake wa kwenda kujiunga na Crystal Palace ili kuondokana na nyakati ngumu za huko ...
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Mashujaa FC, Ismail Mgunda ameanza rasmi mazoezi ya kuitumikia AS Vita ya DR Congo iliyomsajili hivi karibuni baada ya kukamilisha taratibu zote zilizotakiwa nchini humo.
OFISA Mtendaji Mkuu wa Pamba Jiji, Peter Juma Lehhet amesema mojawapo ya malengo yake makubwa ni kuhakikisha timu hiyo ya jijini Mwanza inasalia Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku akiomba ...
KAMATI ya waamuzi nchini imefanya mabadiliko ya mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United na Simba.
KOCHA Mkuu wa Alliance Girls, Sultan Juma amesema kilichowaponza kudondosha pointi dhidi ya Yanga Princess ni pamoja na kuchelewa kwa vibali vya wachezaji wake.
WAKATI Mbwana Samatta anasajiliwa Aston Villa ya England nchi ilisimama kwa shangwe kuona kijana wake akipata nafasi katika moja ya ligi kubwa duniani na maarufu.
STRAIKA, Jhon Duran amepanga kusafiri kwa maili 600 kila siku kutoka Bahrain hadi kwenye timu yake mpya ya Al-Nassr ya Saudi ...
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta tayari ameshafanya usajili mkubwa kwa ajili ya dirisha la majira ya kiangazi akifanya hivyo hata kabla ya dirisha hili la majira ya baridi kufungwa.
MSHAMBULIAJI kinda wa Tanzania, Mourice Sichone anayekipiga katika timu ya Trident FC ya Zambia amesema anatamani aisaidie ...
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Samatta mambo yanaonekana kuwa magumu kwa upande wake akiwa na PAOK ya Ugiriki amekuwa akikosa ...